Mkuu umeme kukatika ni hali ya kawaida sn kwa hapa kwetu. Sidhani km kila umeme ukikatika mtu ulalamike ni busara. Lakini ktk hali km hii ya kukatika zaidi ya 24hrs, basi hapo ni tatizo. Tujadili juu ya kukatika kwa umeme na sio kuishia kujadili comments yangu paka lengo la thread husika linapotea
Me nikadhani umeandika kukatika kwa UUME! Bac nikafungua haraka haraka nijue uko pande zipi nikuwahishe hospitali... Ok any way, kwa kuwa umesharudi, wacha tufanye yetu sasa...
Me nikadhani umeandika kukatika kwa UUME! Bac nikafungua haraka haraka nijue uko pande zipi nikuwahishe hospitali... Ok any way, kwa kuwa umesharudi, wacha tufanye yetu sasa...
Mkuu nimepiga tanesco wameniambia kuna tatizo la transformer kwenye sub-station ya kipawa,tatizo hili limetuathiri hata sisi huku tabata.niliyeongea naye hakuwa na majibu ya ni lini utarejeshwa,tuwe na subira tu.