mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,417
- 8,400
Tukitaka Katiba ishughulikiwe mnatukebehi kuwa bado inafaa. Dr Remy alisema 'kifo hauna huruma'Usinipangie, kwangu mie samia ni dhaifu kwako ni imara.
Kwa dharula iliyotokea hussein mwinyi au majaliwa ndio wangefiti kuongoza hii nchi
Wastaarabu ni kina nani hao?CCM Wastaarabu vs CCM Majambazi, bahati nzuri CCM majambazi mlezi wao ameshakufa
Siasa za Tanzania zimeingia patamu sasa. Maelekezo ya chama kwa wateule wake ya kusimamia na kuitekeleza ilani ya chama kwa nguvu zote yameingia shubiri.
Kosa la sabaya la kutumia vibaya madaraka na ofisi ya uma halimuachi mkurugenzi yoyote wa halimashauri na miji wala jiji salama.
Mfano mzuri ni ukwapuaji wa form za wagombea wa upinzani na matumizi ya mabavu kwa wagombea wa upinzani katika uchaguzi wa 2020.
CCM imefitinika na wanaulizana ni nani aliye msafi? nani wa kumhukumu mwenziye? ama hakika mwanadamu hana kimbilio lingine ila kwa Mungu. "Amelaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu".
Hiyo hiyo bado ipo na mashine zake.I
Ile iliyopumulia mashine uchaguzi wa 2015,yetu macho
Inaonekana huijui CCM wewe, yaani ccm ianguke kwa sababu ya sabaya.Siasa za Tanzania zimeingia patamu sasa. Maelekezo ya chama kwa wateule wake ya kusimamia na kuitekeleza ilani ya chama kwa nguvu zote yameingia shubiri.
Kosa la sabaya la kutumia vibaya madaraka na ofisi ya uma halimuachi mkurugenzi yoyote wa halimashauri na miji wala jiji salama.
Mfano mzuri ni ukwapuaji wa form za wagombea wa upinzani na matumizi ya mabavu kwa wagombea wa upinzani katika uchaguzi wa 2020.
CCM imefitinika na wanaulizana ni nani aliye msafi? nani wa kumhukumu mwenziye? ama hakika mwanadamu hana kimbilio lingine ila kwa Mungu. "Amelaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu".
Wanasema ndio lilikuwa tegemeo lenu kwenye umafiaYaan CCM ianguke kwa kukamatwa Sabaya?
Inanoga zaidi ukisema, "Eye for Eye" 🤣🤣🤣An Eye for an Eye!
Alikuwa Ni Kunya-ziKuna swali najiuliza, Kama Sabaya ni Jambazi JPM alikuwa nani?.
Ni kweli kunya kamshinda jamba. Hivyo Magu anastahili kushtakiwa.Alikuwa Ni Kunya-zi
Ccm ina uwezo wa kutupa makapi pembeni hata mtu akiwa nani. Ccm ni chama cha mapinduzi 'revolutionary party' . Kinachukuaga maamuzi yenye maslahi kwa umma hata muda uongozi umepokwa na tabaka la fisadi huweza kuchomoa na kubaki chenye kulinda maslahi ya wavuja jasho...kwa hivyo ni suala la muda tu.Siasa za Tanzania zimeingia patamu sasa. Maelekezo ya chama kwa wateule wake ya kusimamia na kuitekeleza ilani ya chama kwa nguvu zote yameingia shubiri.
Kosa la sabaya la kutumia vibaya madaraka na ofisi ya uma halimuachi mkurugenzi yoyote wa halimashauri na miji wala jiji salama.
Mfano mzuri ni ukwapuaji wa form za wagombea wa upinzani na matumizi ya mabavu kwa wagombea wa upinzani katika uchaguzi wa 2020.
CCM imefitinika na wanaulizana ni nani aliye msafi? nani wa kumhukumu mwenziye? ama hakika mwanadamu hana kimbilio lingine ila kwa Mungu. "Amelaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu".
Kama unamaanisha umma ni familia za hao vigogo upo sawa.Kinachukuaga maamuzi yenye maslahi kwa umma hata muda uongozi umepokwa na tabaka la fisadi huweza kuchomoa na kubaki
Ahahahahahaha!!!Inanoga zaidi ukisema, "Eye for Eye" 🤣🤣🤣