Kama ananyimwa kutoka/kuchelewa nyumbani, na kama ananyimwa hata kwenda saluni....atampataje mme?? au hawataki aolewe (sababu za kiuchumi) labda....
Ila ukubwa wa huyo dada anaujenga mwenyewe...anawaachia wazazi wake wamuamulie uwezo wake wa kumudu maisha?? Nadhani yeye ndo anafanya wazazi wake wamwone bado mdogo!