dreamcatcher
Member
- Jan 13, 2011
- 10
- 0
JAMANI, naomba kwanza nitangulize maombi ya msamaha kwa kutohudhuria katika jukwaa kwa muda mrefu kidogo... safari za mbali na majukumu mengi... nilitingwa. nisameheni wakuu.
nomba pia niwasilishe tatizo langu lililonisibu na kukaribia kunitia wazimu. nimekuwa nikijaribu kujisajili katika program hii ya QB 2010. ila inatoa demands kwamba kujisajili kwangu kuwe kwa njia ya simu tu. najaribu hata kutumia account yangu ya QB ili nifanikishe online, hainiruhusu. sasa, kila nifikapo pale ambapo natakiwa kuingiza namba yangu ya simu na area code, nifanyapo hivyo, wananikatalia wakiniambia kwamba tarakimu zangu hazijajitosheleza. kisha wao hukata simu!
sasa, jamani wakuu... nimeona nikimbilie kwenu! nisaidieni :frusty::frusty:
nomba pia niwasilishe tatizo langu lililonisibu na kukaribia kunitia wazimu. nimekuwa nikijaribu kujisajili katika program hii ya QB 2010. ila inatoa demands kwamba kujisajili kwangu kuwe kwa njia ya simu tu. najaribu hata kutumia account yangu ya QB ili nifanikishe online, hainiruhusu. sasa, kila nifikapo pale ambapo natakiwa kuingiza namba yangu ya simu na area code, nifanyapo hivyo, wananikatalia wakiniambia kwamba tarakimu zangu hazijajitosheleza. kisha wao hukata simu!
sasa, jamani wakuu... nimeona nikimbilie kwenu! nisaidieni :frusty::frusty: