wakuu mimi nna tatizo moja.. yan kila nikilala kifudifudi nkiamka najikuta nmejichafua na sperms*/ hata nisipoota ndoto nyevu, ni nini suluhisho LA hili tatizo??? mana siipend sana hali hii na inatokea Mara kwa mara, lakini nashindwa kukabiliana nayo.