KUITWA USAILI TRA 2022/23

KUITWA USAILI TRA 2022/23

Jina la Kwanza limeandikwa lingine ila jina la pili na la tatu ni yangu pamoja na address Ni yangu ,, Je hapa inakuwaje?
Pia number nimepewa ila kwenye list ya majina jina harisi hamna zaidi ya hilo
 
Jina la Kwanza limeandikwa lingine ila jina la pili na la tatu ni yangu pamoja na address Ni yangu ,, Je hapa inakuwaje?
Pia number nimepewa ila kwenye list ya majina jina harisi hamna zaidi ya hilo
Nenda kapige paper mzee
 
Mimi kwenye list jina alipo hila kwenye profile wameniweka shortlisted wamenipa na namba
 
Hello guys. Kwa wakazi wa Moshi/Arusha kuna usafiri private kwa watu wanne interested.
Bei ni Tshs elfu 65 tu Go and return.
Tutaondoka jumamosi tarehe 17/12/2022 saa moja asubuhi.
PACKAGE INCLUDES:
1.Usafiri kutoka Moshi bus stand saa moja asubuhi ya tarehe 17 hadi Dodoma mjini.
2. Usafiri kutoka Dodoma mjini hadi UDOM ukumbi wa CIVE au kumbi jirani tarehe 18 saa kumi na mbili asubuhi (ili kuwahi interview).
3. Usafiri kutoka ukumbi wa interview hadi Dodoma mjini tutakapofikia.
4. Baada ya interview usafiri hadi Moshi stand. Siku ya tarehe 19 saa moja asubuhi.
✓Other benefits include:
•Kudiscuss kwenye gari kwa pamoja
•Kusimama popote njiani and other benefits of a private travel.
DM if interested.
N.B HUU NI MSIMU WA SIKUKUU, UNAWEZA UKAKWAMA EITHER KWENYE GARI ZA ABIRIA KWENDA AU KURUDI, AU NAULI KUPANDA KUPITA KIASI.
MALIPO YANAPOKELEWA KWA MKONO MWISHO SIKU YA IJUMAA YA TAREHE 16/12/2022 SAA SITA MCHANA
 
Back
Top Bottom