Kuitwa kwenye usaili PPF

Ni formality tu, PPF ni wababaishaji sana, kaz zinatangazwa tyr zina watu(full vimemo), bt kwa serikali ya magufuli kiama chao kinakuja, kwanini wasifanye kama wenzao TRA & NHIF wamekipa chombo husika secretariat ya ajira...PPF na wenzenu GEPF, NSSF, LAPF kiama chenu kinakuja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wangeshortlist usingekuwemo kwenye list
 
mkuu mbona kama wanafanya maigizo hawa jamaa maana mimi hata sielewi niliomba kazi gani
 
Nahis watu wao wanaowataka walichelewa kupeleka maombi ya kazi. Inamaana mtu aliyetuma maombi baada ya deadline na yeye ana vigezo vya kwenda kwenye interview. Ni bora wenge shortlist watu wote waliofanya maombi ndani ya deadline kuliko haya. Heti watu wote waliyo omba wanahitajika. Mimi hata siendi
 
Mfumo hauruhusu kuomba baada ya deadline. Vijana acheni kulalamika kama uliomba nenda kwenye interview Mungu yupo labda hii ndio bahati yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata majina ktk website hakuna!!!

Yaani janjajanja tu

JPM KAMATA WEZI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…