ulimboka frackson
New Member
- Feb 27, 2019
- 3
- 0
Jaman polen na majukumu ya kila siku naomba kuuliza kuhusu KADKO tulio apply mwezi January, usaili lini?
Ingia kwenye website ya Utumishi wameshatoa orodha ya majina ya wasailiwa na vituo vyao jana tar. 08/03/2019Jaman polen na majukum ya Kila siku naomba kuulzia Kuhusu Kadko tulio apply mwezi January usaili lini?
Sent using Jamii Forums mobile app
mimi wameniita nafikiria iyo nauli ya dar - arusha kwenda na kurudi + chakula la malazi kwa siku 5.
acha kabisa mzee.Halafu ulambe deshi inasikitisha sana aisee...
Siku 5 kivipi huo usailimimi wameniita nafikiria iyo nauli ya dar - arusha kwenda na kurudi + chakula la malazi kwa siku 5.
Huyo atakuwa anaanzia kwenye usaili wa mchujo kisha ndio afanye wa oral...Siku 5 kivipi huo usaili
Ndio inachukua siku tano sioHuyo atakuwa anaanzia kwenye usaili wa mchujo kisha ndio afanye wa oral...
Sent using Samsung; Jamii Forums mobile app
usaili wa awali tarehe 20 oral tarehe 22 piga hesabu siku utakayotoka dar kusubiri usaili zote mbili na kurudi.Huyo atakuwa anaanzia kwenye usaili wa mchujo kisha ndio afanye wa oral...
Sent using Samsung; Jamii Forums mobile app
Written tarehe 20 oral tarehe 21usaili wa awali tarehe 20 oral tarehe 22 piga hesabu siku utakayotoka dar kusubiri usaili zote mbili na kurudi.
Write your reply...vijana mnatafuta ajira halafu mnaogopa kupoteza pesa kwa ajili ya usaili? hata uchawi unagharama,wengi mnaowaona wana ajira gharama za hivi waliingia otherwise mtasubiri sanaaaaaaaaaaaaaa
tatizo sio kupoteza pesa tatizo ni kuipata iyo pesa ya kupoteza.