Kuitwa kazini, usaili wa mwezi Juni

Kuitwa kazini, usaili wa mwezi Juni

Mtendaji wa kaya

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2014
Posts
334
Reaction score
59
Wanajamvi! nauliza huwa inachukua muda gani mpaka majibu ya usaili kutoka mfano usaili ulioisha jana tarehe 21 sekretarieti ya ajira!
 
dah mkuu hata wiki haijaisha?anyway sababu mwaka wa fedha uko mwanzoni inaweza kuwa mapema!
 
Mr wangu oct 2010 akaitwa feb 2012, u can imagine, yani lisahau kabisa maana wenzie alofanya nao walishazoea na kazi
 
Back
Top Bottom