Kuitwa kazini tena Kilimo na mifugo

Kuitwa kazini tena Kilimo na mifugo

Ndugu wana Jf,
Utumishi wameita watu kazini tena kwa kada za kilimo na mifugo! Naomba wadau mtupie humu.


mbona wameita watu kitambo sana na walioitwa tayari wameshaenda kuripoti kwa waajiri wao??wewe ndo umesikia leo au?unataka tuweke humu kwanini usiingie tu www.ajira.go.tz ukaangalia mwenyewe?
 
mbona wameita watu kitambo sana na walioitwa tayari wameshaenda kuripoti kwa waajiri wao??wewe ndo umesikia leo au?unataka tuweke humu kwanini usiingie tu www.ajira.go.tz ukaangalia mwenyewe?

Wameongeza majina mengine jana mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom