Kuitwa kazini TanTrade

Kuitwa kazini TanTrade

mdesi

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2013
Posts
1,373
Reaction score
2,251
Habarini za humu wandugu,

Naomba kuuliza waliofanya oral interview utumishi nafazi mbalimbali za tan trade mbona kimya? kada nyingine zote walipangiwa vituo hata wale waliofanya baadae.

Wenye ABC watujuze!
 
sanduku la posta nililotumia limefungiwa kisa halijalipiwa na mwenye nalo hayupo nchini kasafiri on top of that nimeitwa kazini je, nikienda bila barua mwajiri atanipokea?.........msaada wadau
 
mbna tayari mkuu tangazo lipo kwenye tovuti yao

Acha utani wako unapoleta mzaha kwenye maisha ya watu unakuwa kama hujielewi. Waliofanya interview za Tan Trade mwezi wa March mwishoni kwa nafasi zile za kuanzia watu hawajaitwa kazini. Acheni upuuzi wenu humu ndani.
 
sanduku la posta nililotumia limefungiwa kisa halijalipiwa na mwenye nalo hayupo nchini kasafiri on top of that nimeitwa kazini je, nikienda bila barua mwajiri atanipokea?.........msaada wadau


Nenda utumishi utapewa barua....

All the best!
 
Acha utani wako unapoleta mzaha kwenye maisha ya watu unakuwa kama hujielewi. Waliofanya interview za Tan Trade mwezi wa March mwishoni kwa nafasi zile za kuanzia watu hawajaitwa kazini. Acheni upuuzi wenu humu ndani.

Ila watu wapo kazini tayari ndugu, nchi yetu ya ajabu sana hii.
 
aisee hiyo hatari, mm binafsi nilikuwa nazisubiria hizo lakini hadi leo naona kimyaaa, brand officer, promotional officer, domestic market dev. officer na nyinginezo.......
 
Alafu inakwaje hao wengine wameitwa wakati sisi ndo nilikuwa wa mwanza kufanya interview inabidi tupate ufafanuzi wa hii kitu aisee..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom