Mungu wangu mkuu,uliye juu katika kiti cha enzi,nasema asante kwakuwa maombi yangu umeyasikia,umekuwa muaminifu kwangu nami nitakuwa muaminifu kwako kwa kutenda mema!,asante kwa zawadi hii ya kazi uliyonipa,nakuomba uwajaalie hata wale wasiofanikiwa milango yao pia ifunguke!