Kasanjo Member Joined Jul 29, 2015 Posts 60 Reaction score 28 Apr 24, 2018 #1 Nimeibiwa simu yang (samsung) n nna documents zote imei na risiti za io simu...Kama kuna mtu ashapata simu alioibiwa naomba aniambie alifanyeje ..
Nimeibiwa simu yang (samsung) n nna documents zote imei na risiti za io simu...Kama kuna mtu ashapata simu alioibiwa naomba aniambie alifanyeje ..
S silver Abdul Member Joined Jun 9, 2017 Posts 6 Reaction score 0 Apr 24, 2018 #2 subiri kodogo wakuu wa TCRA wawasili
mjingamimi JF-Expert Member Joined Aug 3, 2015 Posts 45,751 Reaction score 55,787 Apr 24, 2018 #4 Mganga ndo njia nyepesi
Hazchem plate JF-Expert Member Joined Feb 25, 2011 Posts 11,053 Reaction score 15,515 Apr 24, 2018 #5 Kasanjo said: Nimeibiwa simu yang (samsung) n nna documents zote imei na risiti za io simu...Kama kuna mtu ashapata simu alioibiwa naomba aniambie alifanyeje .. Click to expand... Ni vyema maana una supporting documents. Fanya hivi Nenda karipoti kituo cha polisi then watakupa RB pia utapata na mpelelezi. Baada ya hapo kesi yako itapelekwa kitengo cha Cyber crime ambapo kuna dawati la Polisi linaloshirikiana na Mitandao ya simu na TCRA Jarada lako litapekekwa TCRA kisha wao watajua kusa IMEI adress yako inatumika na mtumiaji yupi na namba ipi na ya mtandao gani. Kisha itaandaliwa mitego jinsi ya kumnasa muhalifu. NB. Hayo yote yatafanikiwa kwa Juhudi zako. Ninapo sema JUHUDI nadhani naeleweka vizuri. Kama upo makini Guarantee simu yako unaipata. Ila sasa isije kuwa ni Samsung J1 maana unaweza tumia gharama za Samsung S7 Edge kuipata
Kasanjo said: Nimeibiwa simu yang (samsung) n nna documents zote imei na risiti za io simu...Kama kuna mtu ashapata simu alioibiwa naomba aniambie alifanyeje .. Click to expand... Ni vyema maana una supporting documents. Fanya hivi Nenda karipoti kituo cha polisi then watakupa RB pia utapata na mpelelezi. Baada ya hapo kesi yako itapelekwa kitengo cha Cyber crime ambapo kuna dawati la Polisi linaloshirikiana na Mitandao ya simu na TCRA Jarada lako litapekekwa TCRA kisha wao watajua kusa IMEI adress yako inatumika na mtumiaji yupi na namba ipi na ya mtandao gani. Kisha itaandaliwa mitego jinsi ya kumnasa muhalifu. NB. Hayo yote yatafanikiwa kwa Juhudi zako. Ninapo sema JUHUDI nadhani naeleweka vizuri. Kama upo makini Guarantee simu yako unaipata. Ila sasa isije kuwa ni Samsung J1 maana unaweza tumia gharama za Samsung S7 Edge kuipata