muuza ugoro
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 334
- 61
Wana Dijitali,
Salaam. Nime fall kwa hii VW golf, sasa b4 maamuzi ningependa pata ushauri kuhusu Bei, upatikanaji wa spea, uimara na mengineyo. Katika pita pita zangu, nikaulizia kwenye Yard flani pale mwenge karibu na mlimani city(wanauzaga baskeli pia) nikaambiwa ni 12.5M, mijicho ilintoka kwa kweli. Sasa waTZ wenzangu em nambieni kama ntapata below that offer
Salaam. Nime fall kwa hii VW golf, sasa b4 maamuzi ningependa pata ushauri kuhusu Bei, upatikanaji wa spea, uimara na mengineyo. Katika pita pita zangu, nikaulizia kwenye Yard flani pale mwenge karibu na mlimani city(wanauzaga baskeli pia) nikaambiwa ni 12.5M, mijicho ilintoka kwa kweli. Sasa waTZ wenzangu em nambieni kama ntapata below that offer