KwA MUJIBU WA MAELEZO YAKO NAONA KABISA KUWA ROHO YAKO NI RAHISI SANA KUCHUKUA NA NI RAHISI SANA KUKUTUMIA ROHO TOFAUTI NA ULIYO NAYO.Ili kukupa ushahidi wa hilo.Jiulize ni kwa nini umesoma mpaka mwisho ukaelewa ila ukawa na shaka.Ni kwa sababu kuna mambo mengi ambayo unayabana ndani ya nafsi yako na hilo linawezekana tu kwa kuwa una roho inayoweza kufanya hivyo.Fahamu tu kwamba dalili ya kwanza ya mtu mwenye roho dhaifu ni kumuogopa baba au mama yako hata ukiwa mtu mzima.Kama unahofia watu waliokuzidi umri au wazazi wako basi niko sahii nikikwambia naweza kuiita roho yako hapa nilipo ni ikaja na wewe nikakuacha ukiwa mahututi kwa saa ishirini na nne.