Kuhusu Mikopo ya NSSF Arusha na Kilimanjaro

Kuhusu Mikopo ya NSSF Arusha na Kilimanjaro

masomo

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2012
Posts
208
Reaction score
46
huenda mpango huu ukawa sawa na mipango mingine ya kitapeli kama ule wa DESI na mingine.mikopo inayosemekana ya nssf kutolewa kupitia kilimanjaro cooperative bank kwa vikundi na mtu mmoja mmoja kwa wakazi wa kilimanjaro na arusha inatia shaka,mikopo hiyo yenye dhamana nafuu ya kuanzia shilingi milioni kumi hadi thelasinim imeahidiwa na waliojisajili katika mpango huo na maelfu ya wananchi ambao tayari wamekuwa wakitakiwa kulipia mchango ya kujiunga nssf sh 120,000 kwa kila mtu mmoja pia shillingi 30,000 kufungulia account ya bank na shilingi 100,000 hadi laki tatu kwa ajili ya kuandaliwa andiko la biashara.waliojiandikisha katika mpango huu ni takribani watu wasiopungua elfu kumi katika utaratibu huo ikiwa ni ndani ya miezi mitatu na hakuna aliyewahi kupewa mikopo hiyo hadi sasa na bado usajili mpaka wakati huu bado unaendelea.ni wastani wa malipo ya shilingi 250,000 kwa mtu mmoja ukizidisha kwa watu elfu kumi utapata 25 bilioni.ni dhahiri huu ni utapeli na mnaojua ukweli zaidi ya jambo hili mtujuze.
 
huenda mpango huu ukawa sawa na mipango mingine ya kitapeli kama ule wa DESI na mingine.mikopo inayosemekana ya nssf kutolewa kupitia kilimanjaro cooperative bank kwa vikundi na mtu mmoja mmoja kwa wakazi wa kilimanjaro na arusha inatia shaka,mikopo hiyo yenye dhamana nafuu ya kuanzia shilingi milioni kumi hadi thelasinim imeahidiwa na waliojisajili katika mpango huo na maelfu ya wananchi ambao tayari wamekuwa wakitakiwa kulipia mchango ya kujiunga nssf sh 120,000 kwa kila mtu mmoja pia shillingi 30,000 kufungulia account ya bank na shilingi 100,000 hadi laki tatu kwa ajili ya kuandaliwa andiko la biashara.waliojiandikisha katika mpango huu ni takribani watu wasiopungua elfu kumi katika utaratibu huo ikiwa ni ndani ya miezi mitatu na hakuna aliyewahi kupewa mikopo hiyo hadi sasa na bado usajili mpaka wakati huu bado unaendelea.ni wastani wa malipo ya shilingi 250,000 kwa mtu mmoja ukizidisha kwa watu elfu kumi utapata 25 bilioni.ni dhahiri huu ni utapeli na mnaojua ukweli zaidi ya jambo hili mtujuze.

Kabla hujaomba mwenye kujua zaidi akujuze, je una uhakika na idadi ya watu waliomba mikopo hiyokuwa ni elfu kumi?
Taarifa ambazo sio rasmi ni kwamba, unalipa Tsh 120000 kama hajawahi kuwa mwanacham wa NSSF ikiwa na ada ya kila mwezi kwa miezi sita, sawa na 20000 kwa mwezi. Sifa ya kupata mkopo ni kuwa mwanachama wa nssf kwa kipindi kisichopungua miezi sita na uwe katika kikundi.
 
watu kadhaa nawafahamu wameingizwa ktk huo mchakato, umesahau 50,000 waliyolipia kwajili ya mafunzo ya ujasiriamali na nidhamu ya matumizi ya hizo pesa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1
 
Nimejiunga na nssf 4/2014. Nalipa 20000 kila mwezi. Nia yangu nikua na akiba ya muda mrefu-uzee unaingia. Bila kuhesabu riba yao sasa nina laki tatu naa. Nafurahi kwa ku save kidogo kidogo. Sasa mnanitisha mkinambia taasisi hii haiaminiki. Je nitoke? Ipi mnanishauri
 
huenda mpango huu ukawa sawa na mipango mingine ya kitapeli kama ule wa DESI na mingine.mikopo inayosemekana ya nssf kutolewa kupitia kilimanjaro cooperative bank kwa vikundi na mtu mmoja mmoja kwa wakazi wa kilimanjaro na arusha inatia shaka,mikopo hiyo yenye dhamana nafuu ya kuanzia shilingi milioni kumi hadi thelasinim imeahidiwa na waliojisajili katika mpango huo na maelfu ya wananchi ambao tayari wamekuwa wakitakiwa kulipia mchango ya kujiunga nssf sh 120,000 kwa kila mtu mmoja pia shillingi 30,000 kufungulia account ya bank na shilingi 100,000 hadi laki tatu kwa ajili ya kuandaliwa andiko la biashara.waliojiandikisha katika mpango huu ni takribani watu wasiopungua elfu kumi katika utaratibu huo ikiwa ni ndani ya miezi mitatu na hakuna aliyewahi kupewa mikopo hiyo hadi sasa na bado usajili mpaka wakati huu bado unaendelea.ni wastani wa malipo ya shilingi 250,000 kwa mtu mmoja ukizidisha kwa watu elfu kumi utapata 25 bilioni.ni dhahiri huu ni utapeli na mnaojua ukweli zaidi ya jambo hili mtujuze.

Mimi mwenyewe nimeshaingia Choo cha kike na nimeliwa hamsini elfu.

Huu ni utapeli.
 
Huu ni utapeli na hakuna aliyewahi pewa hiyo Pesa Leo ijumaa waliambiwa ni kikao
 
itabidi hili ukawa waliweke kwenye sera kuhakikisha watarudisha pesa iliyotapeliwa walimu na maelfu ya wavuja jasho wengine.
 
Hata baba yangu atakuwa ameingia Choo cha kike.

Mwezi kama wa tano aliniambia eti Kuna mikopo ya mamilioni inatolewa na NSSF. Eti inatakiwa kama laki mbili ndo upewe huo mkopo.

Mi kwa sababu ni great thinker nikajua hamna kitu kama hicho. Huwezi toa laki mbili upate mkopo wa milioni kumi bila hata kuwa na collateral yoyote.

Sasa yeye akawa anang'ang'ania anasema hii ni Golden chance. Mi nikampa elfu sabini. Sasa kama mnasema ni utapeli basi imekula Kwake.
 
Back
Top Bottom