mwezi wa pili ndio huu unaingia.kama ilivyokua imetangazwa tangu awali kwamba mchakato wa kujiunga na Jeshi letu JKT utaanza.
Naomba sana wahusika Mutuangalie na sisi Graduate,tunatamani kujiunga na Jeshi lakin Mmetubana sana kwenye suala la Umri,,,,wengi tunamaliza chuo tukiwa na miaka 24,25 na 26,,,
tafadhali sana.