Mie cijaelewa hapo unachouliza , je unataka kujua kuhusu mtaji unaohitajika au Faida ya hiyo biashara? Kiukweli kama eneo ulilopo linauhiyaji wa hiyo k2 inalipa.
Mie cijaelewa hapo unachouliza , je unataka kujua kuhusu mtaji unaohitajika au Faida ya hiyo biashara? Kiukweli kama eneo ulilopo linauhiyaji wa hiyo k2 inalipa.
Hiyo biashara inalipa, changamoto yake kubwa ni ni kuwa majambazi wa silaha za moto wanakuja kuvuna hapo kila wakitaka, maana ina mzunguko mkubwa wa cash!
Hiyo biashara inalipa, changamoto yake kubwa ni ni kuwa majambazi wa silaha za moto wanakuja kuvuna hapo kila wakitaka, maana ina mzunguko mkubwa wa cash!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.