Kwasababu watanganyika wamewalipia sehemu ya pesa kwenye hivyo viatu.Naomba kupata uelewa. Ni kwa nn bei za vitu Zanzibar ni cheap kuliko huku kwenu bara nyie watanganyika
Naomba kupata uelewa. Ni kwa nn bei za vitu Zanzibar ni cheap kuliko huku kwenu bara nyie watanganyika
Usafiri vipi mkuu?Pikipiki ya 750,000 Zanzibar inauzwa 4 500 000 Tanganyika.