Kuhusu bei halisi ya matrekta

Kuna elimu unatakiwa uwe nayo unapotaka kununua trekta vitu kama unataka kulima binafsi au kibiashara.aina ya udongo unaloenda Lima ,ukijua haya utajua uchukue yrekta sina gani,lenye uwezo wa kulima hekta ngapi kwa siku,aina ya jembe,na vitendea kazi vingine,tela,kama ni udongo wa kunasa basi unahitaji LA 4wheel n.k
 
kuna utajiri kwenye kilimo??? et serious??
 
Unalima mazao gani mkuu, wapi na kwa kiasi gani maana inategemeana, funguka waja wakusaidie
 
Unashangaa nn?
kuna utajiri kwenye kilimo??? et serious??
 
mkuu ka upo serious nikuunganishe na mtu yupo ujerumani akufanyie mpango wa tractor jipya ila hela ni kwanzia million 35 ila si toleo jipya ka wataka used pia waweza pata toka Finlandi. pakistani au hapo South Africa ila mzigo toka Afrika unakuwa katika uchakavu mkubwa zaidi, ila MF 188 mpaka kulitoa bandarini ni mill 23 haizidi hapo but ni kutoka South afrika
 

TRECTOR haina makato yoyote bandarini. All capital goods import duty is zero.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…