Habari wanajamvi.Naomba kujuzwa Kwa mwenye kujua kuhusu ajira za uhamiaji mwezi wa 7 zimeshatoka au kuna kipi kinaendelea.
Ahsanteni na nawakilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsanteni na nawakilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wanajamvi.Naomba kujuzwa Kwa mwenye kujua kuhusu ajira za uhamiaji mwezi wa 7 zimeshatoka au kuna kipi kinaendelea.
Ahsanteni na nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Ipo hivyo na kinyume chake ni sahihiAjira zote za polisi,magereza, jwtz,usalama,uhamiaji,wanyamapori, na nyingine za namna hiyo utaratibu mpya ni kwamba tunachukua vijana kutoka jkt.asikudanganye mtu yeyote kukufanyia mpango upate nafasi bali kinachotakiwa subiri nafasi za jkt zikitoka au maelekezo mengine yakitoka kutoka ktk vyombo husika
Sent using Jamii Forums mobile app