Kuhusu Acturial science

Kuhusu Acturial science

Kuna modern algebra za kutosha humo.
Discrete maths za kutosha humo aseee.
watu wana disco sana iyo kozi sio kidogo
 
Wakuu hiii kozi nayo iko vp kisoko na je ukimaliza upo mtihani kama vile CPA
Ni huzuni kubwa sana kwa vijana wengi wa Kitanzania kutokuwa na Mahaba ya Ujuzi/Elimu specific ! Wanakuwa kama malaya - kusoma degree ambazo zina upigaji na dhuruma ya raia. Sote tumezaliwa with specific task/vipaji mbalimbali+ Tuzae na kuijaza Dunia- ni huzuni kwa kizazi cha watazania mtu anafika mpaka form 6 bado ajui why yupo duniani 😭😭😭Degree ni part tu ya kukusaidia kufanya vizuri with God given Talents!! Kabla ya kuja Mzungu Babu wa babu zetu waliuguwa, Walikuwa wanafanya Biashara, walikuwa na ulinzi, madawa, na jinsi ya kupashana habari, ufundi mbalimbali na ata technologia mbalimbali! NI UZUNI KWA KIZAZI HIKI KUTOJUA WHY WAPO DUNIANI😭😭
 
Wakuu hiii kozi nayo iko vp kisoko na je ukimaliza upo mtihani kama vile CPA

Hii course iko ale maenei ya udsm, hawa majamaa wanahusika sana sana na financial risk ila kwa bongo kazi zipo kwenye ofisi za bima.

Iko maeneo ya udsm inataka pcm pia div 1 ya point 3 mpaka 6 kama ulikuwa mbabaishaji achana nayo kasome hata cs.

Hii kudisco ni nje nje kama una mambo mengi achana nayo
 
Ok ahsante sana mkuu
Umewasilisha
Ili uwe certified actuary lazima kuna mitihani utaifanya tena njee ya nchi kama huna vibunda jiandae maana ni gharama.

Kama unajiweza upande wa math/statistics /finance nenda udsm ukapige kitabu
 
Ni huzuni kubwa sana kwa vijana wengi wa Kitanzania kutokuwa na Mahaba ya Ujuzi/Elimu specific ! Wanakuwa kama malaya - kusoma degree ambazo zina upigaji na dhuruma ya raia. Sote tumezaliwa with specific task/vipaji mbalimbali+ Tuzae na kuijaza Dunia- ni huzuni kwa kizazi cha watazania mtu anafika mpaka form 6 bado ajui why yupo duniani Degree ni part tu ya kukusaidia kufanya vizuri with God given Talents!! Kabla ya kuja Mzungu Babu wa babu zetu waliuguwa, Walikuwa wanafanya Biashara, walikuwa na ulinzi, madawa, na jinsi ya kupashana habari, ufundi mbalimbali na ata technologia mbalimbali! NI UZUNI KWA KIZAZI HIKI KUTOJUA WHY WAPO DUNIANI

Mkuu ni aibu sana aisee ndio maana hatufanikiwi kwa sababu tunafanya vitu ambavyo hatuna uwezo navyo kwa kuamini tutakuja kupiga hela,

Mwisho wa siku atalalamika hakuna kazi,kumbe hunauwezo nayo hiyo course wewe ulikuwa una force upate mpunga.

Mababu zetuwaliishi kabla ya hiyo degree yake aliyoitaja hapo inayousiana na maswala ya bima na risk kwenye mabank kwa watu waliofariki na kushindwa kurudisha mikopo.

Ukijua uwezo wako uko wapi huwezi kuwa na maswali ya kijinga kama hayo.

Ukijua tu kipaji chako ni nini hata kama huna hiyo degree lazima tu ufanikiwe maana utakachokifanya ndio unauwezo nacho vizuri.
 
Wakuu hiii kozi nayo iko vp kisoko na je ukimaliza upo mtihani kama vile CPA
Dogo anza Google then pitapita kwenye financial institutions ulitaka kujua zaidi. Hawa bana ni ma Risk Analysts. Kimsingi ukigraduate utaajiriwa km analyst
 
Mkuu ni aibu sana aisee ndio maana hatufanikiwi kwa sababu tunafanya vitu ambavyo hatuna uwezo navyo kwa kuamini tutakuja kupiga hela,

Mwisho wa siku atalalamika hakuna kazi,kumbe hunauwezo nayo hiyo course wewe ulikuwa una force upate mpunga.

Mababu zetuwaliishi kabla ya hiyo degree yake aliyoitaja hapo inayousiana na maswala ya bima na risk kwenye mabank kwa watu waliofariki na kushindwa kurudisha mikopo.

Ukijua uwezo wako uko wapi huwezi kuwa na maswali ya kijinga kama hayo.

Ukijua tu kipaji chako ni nini hata kama huna hiyo degree lazima tu ufanikiwe maana utakachokifanya ndio unauwezo nacho vizuri.
Bro sidhani km huyu kijana alouliza anamakosa kataka kujua ili afanye maamuzi na kimsingi mie nimemsifu maana kama atafanikiwa ataenda shule akijua nini anajifunza na nini anapswa akijue atakapo maliza chuo. Na pia inamsaidia kujiaandaa kisaikolojia. Kama wewe ulisoma unachokijua unabahati sana mkuu. Si unajua bongo hatuna career guidance?
 
Yaani unatakiwa uijue Maths kindakindaki...
Unaambiwa Maths za Engineering zote cha mtoto...
Kama Hesabu ni za kubabiababia kama mimi, huko sio kabisa..
 
Ushawahi kugusa hesabu za engineering mkuu? Au unaandika tu?
Na hizo ulizofundishwa ukaziona ni ngumu, basi ujue hutazitumia na hazikuwa lazima, sema kwa vile mi lecturer ya kibongo inapenda uone kila kitu kigumu...
Maths za Engineering ni only valid on Appllication to real life problem, zaidi hapo labda lugha iliyotumika kufundishia ilikuwa mgogoro ....na sasa kuna Apps kibao za kufanya maisha yawe rahisi....
Acturial Science degree ni kwa maana nyingine ni sawa na kufanya Maths degree, ni hata kwa EU, UK na US ni unakula Maths, Unalala Maths na unaamkia Maths...
 
Back
Top Bottom