Kuhama Shule

Kuhama Shule

juakal

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2015
Posts
587
Reaction score
125
Wakuu kuna uwezekano wa mtu kuhama shule ya serikali kwenda nyingine ya serikali kama yuko kidato cha tano muhula wa kwanza?
Na kama inawezekana ni process gani zinafuatwa?

Nitashukuru kwa msaada wenu. Kuna dogo tunataka kumuhamisha.
 
Inawezekana,kaombe nafasi kwenye shule unayotaka kwenda,ukikubaliwa kwa maandishi,chukua hiyo barua peleka shuleni kwako,baada ya hapo mchakato wa kuhamisha taarifa zako wilayani unaanza/wilaya ya xul unayotoka,.....
 
Inawezekana,kaombe nafasi kwenye shule unayotaka kwenda,ukikubaliwa kwa maandishi,chukua hiyo barua peleka shuleni kwako,baada ya hapo mchakato wa kuhamisha taarifa zako wilayani unaanza/wilaya ya xul unayotoka,.....

Asante sana mkuu,
 
Wakuu ni shule gani za serikali zenye masomo ya CBA?
 
Back
Top Bottom