TOURMALINE
Senior Member
- Jan 4, 2013
- 125
- 24
Mi ni mwanachama wa cCHADEMA nikiwa mjumbe wa chama jimbo mojawapo la mkoa wa Dar.Nina matarajio ya kuomba nafasi kugombea ubunge jimbo la Same Magharibi.
Kwa bahati mbaya wazee wa jimbo hili wameniambia kama nataka kuwa mbunge wao basi niwe mwanachama wa CCM.
Naomba ushauri wenu
Nawasilisha hoja
Kwa bahati mbaya wazee wa jimbo hili wameniambia kama nataka kuwa mbunge wao basi niwe mwanachama wa CCM.
Naomba ushauri wenu
Nawasilisha hoja