Kugoma kwa wafanyabiashara

bategereza

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2013
Posts
3,314
Reaction score
1,072
Tulishasikia wafanyakazi mbali mbali wakigoma au hata wanafunzi. Lakini sasa hii ya wafanyabiashara sijawahi kuisikia tangu utotoni. Tatizo ni serkali au Wanunuzi. Nia ya muuzaji siku zote ni kuuza apate faida leo kulikoni hawataki faida ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…