Sifi Leo
Platinum Member
- Mar 30, 2012
- 5,937
- 10,815
Nchi YETU ya Tanzania imebarikiwa sana kuwa na MACHAWA ambao kwa namna Moja au nyingine huchangia sana tabaka tawala kututawala watakavyo wakiamini ya kuwa wao ni sehemu ya watawala hao.
Hapa nataka nieleweke, watu kama akina Pascal Mayalla walikuwa ni MACHAWA wa Taasisi mbalimbali za serikali hata zile zilizotangazwa kuiingizia hasara serikali lakini inapofika Taasisi hizo zina tafrija fulani basi wanaalikwa watu kama akina Pascal Mayalla na vyombo vyao wanatangaza mambo ya kichawa chawa huku wanalipwa fedha za UMMA Ili kuwapaka mafuta kwa mgongo wanini kama wasemavyo waswahili.
Alipokuja Rais ambae yeye uchawa ulikuwa na mipaka watu kama hao waliishia kufirisiwa Ili likae hivyo na lieleweke hawakufilisiwa Hawa walikuwa wakwepa Kodi.
Utawala wa Magufuli uliwatikisa sana wenye viti wa ccm mikoa mbalimbali ambao wengi wao walikuwa wafanya biashara.
Moja ya makada waliotikiswa ni Anthony Dialo,huyu maisha yake mengi alikuwa mkwepa Kodi hii iliyotangaswa anadaiwa Leo hii sio aliyokuwa anadaiwa aliuza Mali zake nyingi KULIPA limbikizo la Kodi ambalo hakulitegemea kamwe kisa yeye ni ccm
Leo kampuni yake inafungwa kisa uchawa ni television yake iliangaliwa kwa wingi na watu wa Kanda ya ziwa enzi za kampeni Sasa Kiko wapi?
Hapa nataka nieleweke, watu kama akina Pascal Mayalla walikuwa ni MACHAWA wa Taasisi mbalimbali za serikali hata zile zilizotangazwa kuiingizia hasara serikali lakini inapofika Taasisi hizo zina tafrija fulani basi wanaalikwa watu kama akina Pascal Mayalla na vyombo vyao wanatangaza mambo ya kichawa chawa huku wanalipwa fedha za UMMA Ili kuwapaka mafuta kwa mgongo wanini kama wasemavyo waswahili.
Alipokuja Rais ambae yeye uchawa ulikuwa na mipaka watu kama hao waliishia kufirisiwa Ili likae hivyo na lieleweke hawakufilisiwa Hawa walikuwa wakwepa Kodi.
Utawala wa Magufuli uliwatikisa sana wenye viti wa ccm mikoa mbalimbali ambao wengi wao walikuwa wafanya biashara.
Moja ya makada waliotikiswa ni Anthony Dialo,huyu maisha yake mengi alikuwa mkwepa Kodi hii iliyotangaswa anadaiwa Leo hii sio aliyokuwa anadaiwa aliuza Mali zake nyingi KULIPA limbikizo la Kodi ambalo hakulitegemea kamwe kisa yeye ni ccm
Leo kampuni yake inafungwa kisa uchawa ni television yake iliangaliwa kwa wingi na watu wa Kanda ya ziwa enzi za kampeni Sasa Kiko wapi?