Kuna sehemu umeambiwa kavuta bangi? Au wavuta bangi wote hawavai vitambulisho. Sheria inataka aoneshe kitambulisho,sio akivae. Na hata kama itamlazimisha avae (ambalo nalo ni wazo la kipuuzi kulazimisha kuvaa) bado umeambiwa kilichakaa na hakiwezi valiwa. Nyinyi ni jamii ya watu wenye wivu juu ya wenzenu waliofanikiwa, ukikuta walinzi wanaringa hao afu fatilia malipo yao