Kufukuzwa chuo

VYEKELEA MBALI AENDE MTAANI AMBAKO USIPOVAA KITAMBULISHO HAKUNA WA KUKUULIZA
Mkuu ishu anachodai yy ni kwamba wangemfukuza baad ya tukio kutokea yaan akiwa mwaka wa pili semester 4, ss walimsajir kwa mwaka 3 na akosoma na kumaliza semester 5 wakampa barua aende field na ghafla wanampigia cmu akiwa field na kumpa barua ya kumfukuza chuo
Hapo sheria iko wapi?
 
Wanafata utaratibu tatizo la ngozi nyeusi ni kutokufata sheria wanaleta mambo ya uswahili sehem yakazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…