Amos David Mathias
JF-Expert Member
- Sep 3, 2022
- 1,574
- 3,029
Jamani mwenzenu yamenikuta huyu Dada nampenda lakini naona ni kama najipendekeza Kwa mtu asiyenipenda.
Nikituma meseji mchana anajibu usiku nikituma meseji usiku anajibu mchana.Najitahidi Kwa nguvu zangu zote penzi liendelee lakini kwake sioni juhudi zote yupo kimya.Na akijibu hizo meseji anajibu Yale MAJIBU mafupi kama 'poa' 'safi' 'aisee'.Nikimsifia ni mzuri anasema 'najua'. Hajawahi dhubutu kujibu zaidi ya neno Moja .Majibu yake yananikera na nisipomtafuta sidhani kama atadhubutu kunitafuta.
Mapenzi ni Konyoo nikimpigia nikaingizia maneno ya mapenzi anawaka na kufokaa na kuwa mkali .Utaskia "hebu nitolee pumba zako kama huna vya maana vya kuongea" .Sijui anataka tujadili kuhusu nini au miradi ya kujenga barabara.
Nimeona Bora kujiengua kuliko kuteseka kumfosi mtu asiyenipenda .
ALIKIBA ALIKUWA SAHIHI ALIPOSEMA KUFOSI MAPENZIII NI MBAYA SANA
Nikituma meseji mchana anajibu usiku nikituma meseji usiku anajibu mchana.Najitahidi Kwa nguvu zangu zote penzi liendelee lakini kwake sioni juhudi zote yupo kimya.Na akijibu hizo meseji anajibu Yale MAJIBU mafupi kama 'poa' 'safi' 'aisee'.Nikimsifia ni mzuri anasema 'najua'. Hajawahi dhubutu kujibu zaidi ya neno Moja .Majibu yake yananikera na nisipomtafuta sidhani kama atadhubutu kunitafuta.
Mapenzi ni Konyoo nikimpigia nikaingizia maneno ya mapenzi anawaka na kufokaa na kuwa mkali .Utaskia "hebu nitolee pumba zako kama huna vya maana vya kuongea" .Sijui anataka tujadili kuhusu nini au miradi ya kujenga barabara.
Nimeona Bora kujiengua kuliko kuteseka kumfosi mtu asiyenipenda .
ALIKIBA ALIKUWA SAHIHI ALIPOSEMA KUFOSI MAPENZIII NI MBAYA SANA