kuflash simu na maelekezo ingia hapa

kuflash simu na maelekezo ingia hapa

Toa hiyo website yako hapo kabla moderator hawajakuona, utapigwa BAN hawaruhusu. Soma vizuri masharti ya JF
 
Kama ni biashara basi jukwaa husika ni jukwaa la matangazo, ukipata wasaa pitia vizuri thread za hili jukwaa utaona limebase kuelemishana na kutoa solutions za mambo ya tech na science na sio marketing.
 
Kama ni biashara basi jukwaa husika ni jukwaa la matangazo, ukipata wasaa pitia vizuri thread za hili jukwaa utaona limebase kuelemishana na kutoa solutions za mambo ya tech na science na sio marketing.
nmeshaambiwa nimeelewa tayari
 
Back
Top Bottom