Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,745
Inaumiza. Unapompenda msichana ukaamua kuwa naye kwa heshima na taadhima. Unapoamua kujitoa kwake kwa hali na mali ili asidanganyike huko nje. Lakini yote yanakuwa ni bure.sisi wanaume wapole watulivu huonekana mafala.wanawake wengi hutudharau sana.
Nakumbuka aliyekuwa mchumba wangu aliposema goodgals love bad boys. Hili si la kwanza kusikia.nlishawahi kuwa na msichana akawa ananiita kwa wenzie mimi fala sababu miaka 4 yote sikuwahi mpiga,hakuwahi nifumania,simu yangu alikuwa anakaa nayo atakavyo.shida zake zilikuwa zangu. Akinikosea nikimwambia anakuwa mkali namwambia basi yaishe sipendi ugomvi.akawa ananawaambia wenzie mimi fala.
Mwenzie mmoja ilimuuma akamrecord siku moja akanasikilizisha jinsi wakisimuliwa ufala wangu.nliumia.lakini huwa nawaza sana jinsi ambavyo baba yangu ana mtreat mama yangu kwa upendo na heshima. Sifahamu kwa nini wanawake wa kizazi hiki hawataki mambo hayo.mimi mkono wangu mzito kumpiga mwanamke.siwez kumtukana mtu.
Nmekuwa na bahati mbaya napenda wasichana wazuri ila wanakuwa na tabia mbaya. Nashindwa kuwa nacheat.lakini sasa nmeona maybe niwe bad boy ndo ntapata good girl.
Labda niwe mhuni, mwanaume malaya ndo ntapata mwanamke ambaye ataona kuwa nami nina thamani.pengine huu ukimya wangu naonekana kama sina mvuto.wanawake wengi wanapenda kashkash ... Labda sasa nianze nami hizo kashkash.
Acha nami nijifunze huo uhuni na umalaya ili nikija kutendwa nisiumie nione ni kama ngoma draw.
Nakumbuka aliyekuwa mchumba wangu aliposema goodgals love bad boys. Hili si la kwanza kusikia.nlishawahi kuwa na msichana akawa ananiita kwa wenzie mimi fala sababu miaka 4 yote sikuwahi mpiga,hakuwahi nifumania,simu yangu alikuwa anakaa nayo atakavyo.shida zake zilikuwa zangu. Akinikosea nikimwambia anakuwa mkali namwambia basi yaishe sipendi ugomvi.akawa ananawaambia wenzie mimi fala.
Mwenzie mmoja ilimuuma akamrecord siku moja akanasikilizisha jinsi wakisimuliwa ufala wangu.nliumia.lakini huwa nawaza sana jinsi ambavyo baba yangu ana mtreat mama yangu kwa upendo na heshima. Sifahamu kwa nini wanawake wa kizazi hiki hawataki mambo hayo.mimi mkono wangu mzito kumpiga mwanamke.siwez kumtukana mtu.
Nmekuwa na bahati mbaya napenda wasichana wazuri ila wanakuwa na tabia mbaya. Nashindwa kuwa nacheat.lakini sasa nmeona maybe niwe bad boy ndo ntapata good girl.
Labda niwe mhuni, mwanaume malaya ndo ntapata mwanamke ambaye ataona kuwa nami nina thamani.pengine huu ukimya wangu naonekana kama sina mvuto.wanawake wengi wanapenda kashkash ... Labda sasa nianze nami hizo kashkash.
Acha nami nijifunze huo uhuni na umalaya ili nikija kutendwa nisiumie nione ni kama ngoma draw.