Kuepuka prostate cancer

nzalendo

JF-Expert Member
May 26, 2009
10,928
10,320
Inatakiwa kwa mwanaume kushiriki tendo mara 21 kwa mwezi..itakuweka salama na kuepukana na dhahma hii.
 
na joto hili la daslamuuuu ni kuchoshana tuu
Yaan mtu anakumiminia mijashooo ad shuka zinalowa -- apo ni raundi ya kwanza tu
 
wakati huo nayo kaswende,kisonono na gonorea inasema "natakiwa nijitangaze ndani na nje ya nchi hadi kimataifa niwavae wazinzi wote!nikikaa kizembe nitaonekana zwazwa!".
Huu ni utafiti sio blah blah za vijiwe nongwa
 
Can’t be me.
Hujakutana nao wenye uchu huo wa kuvunja mpaka mifupa au hautii mzuka wa kuliwa' kila mda na kila wakati yaan Jamaa ukivaa bikini upo pale anakuona km 'James' amevaa bikini yaan hapati mzuka
 
kunya kila siku kuna saidia kuongeza hamu ya chakula na ukipata kipindu pindu dalili za kukosa chakula kigumu alisikika profesa janabi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…