Mshukuru sn BASHITE ana sakata la vyeti. Hivyo huko hata sogeza mapua yake. Lasivyo angetia mguu na kufungwa bila kupitia mahakamani au kubambikiziwa Unga kwa mwenye kiherere
Aisee Nyie wazee wa Chuo kikuu cha Taifa, Ivi kila mtu akija na Thread za Elections ktk Chuo chake patatosha kweli?
Au ndio mnatutambiwa sie wa Vyuo vya Kata Udom, Kairuki,KIA na SAUT