Kuelekea kustaafu Kikwete: I'll always remember...

Kwa baya 1 alilofanya jana mkuu yoote hayo yamekuwa deleted., Katiba aliyoleta hatimae mwenyewe ndio ameikanyaga kanyaga Tume aliyoichagua ameipotosha sana na kulta rasimu yake mpyaa, hafai JK ni useless ni mtu ambaye tutamkumbuka kwa mabaya maisha yote
 
Mbona Mwinyi na Nyerere hawakufanya?

Nikuulize swali,enzi za nyerere bajeti ilikua sh ngapi?vyanzo vya pesa vya nyerere vilikua vingapi?na sasa bajeti ya kikwete ni sh ngapi na vyanzo vyake vya pesa n vingapi?ulitegemea nyerere ajenge lami nchi nzima kwa maneno?

Ukilinganisha vyanzo vya mapato vya nyerere(pamba+tumbaku)na alichokifanya,kisha kikwete na vyanzo vyake vya mapato(utalii,uuzaji wa twiga,uuaji wa tembo,madini,kodi,uvuvi,kodi kutoka karibu kwa kila raia nk)na alichokifanya,nyerere au mwinyi bado ni bora kuliko kikwete.

Kikwete anaiongoza nchi ikiwa na vyanzo vingi vya mapato vinavyotumika kuliko watangulizi wake lakini amepruvu failiya,..
 

Huhitaji kumpongeza wala kumkumbuka hiyo ndio kazi aliyoomba,ila mi nitamkumbuka kama deni la taifa limeongezeka yaani hivyo vyote kafanya kwa mkopo
 

u.n.a.k.a.n.y.a.g.wa wewe
 
Huhitaji kumpongeza wala kumkumbuka hiyo ndio kazi aliyoomba,ila mi nitamkumbuka kama deni la taifa limeongezeka yaani hivyo vyote kafanya kwa mkopo
siwezi kujibishana na taahira anayechangika kutoka mawazo ya kuzimu kwenye red highlight ni proof ya hayo
 
siwezi kujibishana na taahira anayechangika kutoka mawazo ya kuzimu kwenye red highlight ni proof ya hayo

Nakusifukwa kutosoma sentensi nzima ukaamua uweke highlight kile kipande kidogo ukasahau kuwa kuwa kile kipande hakina maana bila kusoma sentensi nzima kwa kadiri nilivoandika mimi,pia nakupongeza kwa kuwa u mjuzi na mambo ya kuzimu,inaonesha umewahi ishi huko,ndio.
 
taja mifano ya hiyo mikataba mibovu. halafu pia usisahau kutaja mikata mizuri ya mtangulizi wake. hebu tuone kama akili za misukule ya kibavicha kama zinafanya kazi sometimes. hizi akili za shake before use ni kazi sana

 
ni kweli kabisa, hata kule kalenga waislam wameitosa chadema. haa haaa!

 
wewe utakuwa taahira kama sio punguwani. sasa unataka waweke lami mpaka mashambani, vyumbani, baharini kwenye maziwa/mito na maporini ili wanyama na samaki wapite? sidhani kama unaelewa ila kwa kukusaidia tu tanzania inamtandao wa barabara km 84,000. kikwete amekuta zilizojengwa ni 6000 tu na sasa anamalizia jumla ya km 11,000 yaani karibia mara mbili ya watangulizi wake wote kwa pamoja.

 

Vp na kuhusu walaka wa kanisa?
 

sasa mkuu si afadhali yeye amethubutu kuanzisha huu mchakato,,, kushindwa kwa huu mchakato ni yaleyale tunayoyaita african common problem, ubinafsi, unafiki, ujuaji nk. kama wale watu karibu 600 wanashindwa kujua lipi linamanufaa kwa taifa, yeye afanyeje sasa....

NI JUKUMU LA WALE WATU 600 Kuwa wazalendo na kututengenezea katiba KATIBA YENYE TIJA KWA WANANCHI....
 

Kuuleta ama kutouleta huu mchakato wa Katiba kwa sasa it is good for nothing Jk he is a snake in the grass wajumbe 600 unaozungumzia kabla ya yeye walikuwa na mitazamo tofauti kulingana na maoni ya watanzania, sasa wamelazimika kufuata kauli na maoni ya Mkuu wa Nchi, tayari Jk amejenga hofu kwa wajumbe wa bunge maalum,, sasa wajumbe hata hawo wa ccm hawataangalia tena rasimu wataangalia Rais amependekeza nn, ni hatari jk mbaya sn ameuwa Taifa dakika za mwisho., tutamkumbuka kwa ubaya sanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…