Kucheza kwa mtoto tumboni....

Dooh kumbe ubavu wa Julia nao ni hatari?vipi kwa yule anayeumwa na nyonga akilalia ubavu mmoja tu sasa uyo atatumia njia gani maana walau awe anabadili muelekeo wa ulalo..nisaidie apo plz
 
Jana tulikwenda clinic, tukaambiwa kwamba wakwetu hachezi na badala yake anakimbia kabisaaaaa.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…