BAK JF-Expert Member Feb 11, 2007 124,789 288,020 Feb 12, 2017 #41 Ni jambo la kushangaza sana BT. BADILI TABIA said: Wala utrasound hawajafanya??? Click to expand...
BADILI TABIA JF-Expert Member Jun 13, 2011 32,772 23,164 Feb 12, 2017 #42 BAK said: Ni jambo la kushangaza sana BT. Click to expand... Au ndio wale wasiohudhuria clinic?????
P prosbry celiber Member Mar 1, 2016 6 4 Feb 12, 2017 #43 BADILI TABIA said: Wala utrasound hawajafanya??? Click to expand... Ndo chakushangaza sasa kama hyo miez 6 yote hawa fika clinic ata maramoja. Sijui hyo ndo mimba yake ya kwanza!!!
BADILI TABIA said: Wala utrasound hawajafanya??? Click to expand... Ndo chakushangaza sasa kama hyo miez 6 yote hawa fika clinic ata maramoja. Sijui hyo ndo mimba yake ya kwanza!!!
P prosbry celiber Member Mar 1, 2016 6 4 Feb 12, 2017 #45 kilwakivinje said: Anaogopa kipimo kikubwa Click to expand... Ahahahah ndio maana hataki kwenda clinic ee
kilwakivinje said: Anaogopa kipimo kikubwa Click to expand... Ahahahah ndio maana hataki kwenda clinic ee
N Nyabhuruma New Member Oct 31, 2018 4 0 Mar 17, 2019 #46 Dooh kumbe ubavu wa Julia nao ni hatari?vipi kwa yule anayeumwa na nyonga akilalia ubavu mmoja tu sasa uyo atatumia njia gani maana walau awe anabadili muelekeo wa ulalo..nisaidie apo plz
Dooh kumbe ubavu wa Julia nao ni hatari?vipi kwa yule anayeumwa na nyonga akilalia ubavu mmoja tu sasa uyo atatumia njia gani maana walau awe anabadili muelekeo wa ulalo..nisaidie apo plz
Ushimen JF-Expert Member Oct 24, 2012 37,221 85,359 Mar 18, 2019 #47 kilwakivinje said: Anaogopa kipimo kikubwa Click to expand...
Ushimen JF-Expert Member Oct 24, 2012 37,221 85,359 Mar 18, 2019 #48 Jana tulikwenda clinic, tukaambiwa kwamba wakwetu hachezi na badala yake anakimbia kabisaaaaa.....