Kuchapiwa

Al-shabaab

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2013
Posts
1,791
Reaction score
620
Huwanajiuliza sana kwa nini mwanamme akichapiwa mke/mpenzi wake huwa anaumia sana
tofauti na mwanaume akitembea na mwanamke mwingine mwanamke huwa anachukulia poa tu?
hapa inamaanisha mwanamke anathaminiwa sana na mwanaume tofauti na jinsi mwanamke anayomthamini mwanaume.,
 
nani alikudanganya kuwa mwanamke huwa anachukulia poa?
 

Are you serious??You got be kiding
 
Mwanamke anachukulia poa kama mwanaume akitembea na mwanaume mwingine? Hebu jaribu uone!! navyojua mimi, mwanamke akigundua jamaayake anashugulikiwa, hiyo ni unforgivable sin!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…