P paschal poj New Member Aug 28, 2011 2 0 Aug 28, 2011 #1 Jamani naomba msaada kwa yeyote anayejua jinsi ya ku connect kubuntu 10.10 na internet via airtel modem
Jamani naomba msaada kwa yeyote anayejua jinsi ya ku connect kubuntu 10.10 na internet via airtel modem
Jayfour_King JF-Expert Member Nov 15, 2009 1,135 128 Aug 28, 2011 #2 Nadhani inategemea design, kwani zilizokuwa zinatolewa hapo nyuma nyingi haziko compatible na Linux OS. Kwa zilizo sokoni zinazofanya kazi na Ubuntu, Kubuntu, Xubuntu etc ni za Zantel na TTCL. Binafsi sijasikia kuhusu Airtel na Vodacom.
Nadhani inategemea design, kwani zilizokuwa zinatolewa hapo nyuma nyingi haziko compatible na Linux OS. Kwa zilizo sokoni zinazofanya kazi na Ubuntu, Kubuntu, Xubuntu etc ni za Zantel na TTCL. Binafsi sijasikia kuhusu Airtel na Vodacom.