Ni kesi ya uchaguzi jimbo la Ubungo...
Amemgalagaza kwenye hatua ya awali...
On the next one....
Nadhani makonda hafikirii kuja kupata positio kubwa huku mbele ndo maana anayafanya haya hajali kabisa duh kuna watu wanaroho za aina tofauti sana
Mkuu malizia tu...Bado kushinda kesi ya nani...wa wilaya..?
eee bhana mjomba , maana gani tena aisee ! hili si ni jina la mtu jamani ?Nimecheka sana hii tittle kwani nimejiuliza hivi Kubenea anajua
maana ya hicho alichoshinda ...maana masaburi yana maana yake.
humu Jukwaani JF.
[h=2]Kubenea Ashinda kesi dhidi ya Masaburi...[/h]
Nimecheka sana hii tittle kwani nimejiuliza hivi Kubenea anajua
maana ya hicho alichoshinda ...maana masaburi yana maana yake.
humu Jukwaani JF.
[h=2]Kubenea Ashinda kesi dhidi ya Masaburi...[/h]
Nimecheka sana hii tittle kwani nimejiuliza hivi Kubenea anajua
maana ya hicho alichoshinda ...maana masaburi yana maana yake.
humu Jukwaani JF.
[h=2]Kubenea Ashinda kesi dhidi ya Masaburi...[/h]