Kubadili dini

Kubadili dini

Mwasapile

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2020
Posts
215
Reaction score
450
Ivi wakuu muislam akisema amebadilisha dini na kuwa mkristo anatakiwa afanye nini kutuaminisha!?
 
Ivi wakuu muislam akisema amebadilisha dini na kuwa mkristo anatakiwa afanye nini kutuaminisha!?
-Awe kila J2 aende na pesa kanisani kumchangia padri
  • Akienda chooni achukue makaratasi badala ya maji
  • Kama mwanamke avae viguo vifupi bada ya nguo ya heshima
-
 
Ale mdudu mbuzi katoliki kiti fire......hadharani.
Huku akiwa anaikojolea Quran
 
Nenda kanisa la karibu yako kama unalipenda kajiunge , incase ya ishu ya kiroho unapta msaada hapo .
 
-Awe kila J2 aende na pesa kanisani kumchangia padri
  • Akienda chooni achukue makaratasi badala ya maji
  • Kama mwanamke avae viguo vifupi bada ya nguo ya heshima
-
Aache kuabudu majini na maruhani kwanza. Atambue kwamba kuna Mungu mmoja tu na wa kweli Roho Mtakatifu katika nafsi ya Yesu Kristo.
 
Back
Top Bottom