KALYOVATIPI
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,414
- 199
Jamani kama kuna aliyeshuhudia uapaji wa mtikila kutokana na msimamo wake kwa kuitetea Tanganyika je atatamka maneno 'mtiifu kwa jamhuri ya muungano wa tanzania??
hivi mtikila hakuwepo enzi za nyerere?
kwanini hakuitetea Tanganyika toka enzi zile?
kaona nini enzi hizi za kikwete?
hivi mtikila hakuwepo enzi za nyerere?
kwanini hakuitetea Tanganyika toka enzi zile?
kaona nini enzi hizi za kikwete?
Utakuwa umemjua au umeanza kufuatilia siasa za nchi hii enzi hizi za Kikwete!!!!hivi mtikila hakuwepo enzi za nyerere?
kwanini hakuitetea Tanganyika toka enzi zile?
kaona nini enzi hizi za kikwete?
hivi mtikila hakuwepo enzi za nyerere?
kwanini hakuitetea Tanganyika toka enzi zile?
kaona nini enzi hizi za kikwete?
hivi mtikila hakuwepo enzi za nyerere?
kwanini hakuitetea Tanganyika toka enzi zile?
kaona nini enzi hizi za kikwete?