Kuanzia leo Zantel Tsh. 1 kwenda mitandao yote!

Mods peleka hii kitu jukwaa la matangazo,halafu hii promo inatakiwa ilipiwe hapa.
 

hv kumbe master j ni sharobaro na anagonga modo za akina diamond, duh mambo ya boy2man
 
...dah! hiyo ofa ya kutwaga bure kuanzia saa 5 usiku ili uifaidi lazima ujifunze tabia ya "popo",wenzio wanapoanza kulala wewe ndo unaamka ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…