M mecmt2 New Member Joined Nov 12, 2015 Posts 1 Reaction score 0 Dec 1, 2015 #1 Habari wana JF, Upi umri sahihi, mtoto wangu ana miezi mitatu na week 3. Asanteni sana.
HORSE POWER JF-Expert Member Joined Feb 22, 2015 Posts 2,328 Reaction score 1,666 Dec 2, 2015 #2 Miezi mitatu mtoto wa kike unaweza kuanza kumfundisha kukaa mkuu.Usihofie,huo ndio umri muafaka kwa mtoto wa kike.
Miezi mitatu mtoto wa kike unaweza kuanza kumfundisha kukaa mkuu.Usihofie,huo ndio umri muafaka kwa mtoto wa kike.
jd41 JF-Expert Member Joined Aug 23, 2015 Posts 3,756 Reaction score 4,849 Dec 2, 2015 #3 HORSE POWER said: Miezi mitatu mtoto wa kike unaweza kuanza kumfundisha kukaa mkuu.Usihofie,huo ndio umri muafaka kwa mtoto wa kike. Click to expand... ...kwani ni kumfundisha au hua inatokea naturally, then utamfundisha kutambaa?!...then kutembea...!!!!
HORSE POWER said: Miezi mitatu mtoto wa kike unaweza kuanza kumfundisha kukaa mkuu.Usihofie,huo ndio umri muafaka kwa mtoto wa kike. Click to expand... ...kwani ni kumfundisha au hua inatokea naturally, then utamfundisha kutambaa?!...then kutembea...!!!!
maxime JF-Expert Member Joined Jun 3, 2016 Posts 2,233 Reaction score 1,320 Dec 14, 2019 #4 jd41 said: ...kwani ni kumfundisha au hua inatokea naturally, then utamfundisha kutambaa?!...then kutembea...!!!! Click to expand... Kukaa lazima umpe hilo zoezi... ila vingine vyote huja automatic. Sent using Jamii Forums mobile app
jd41 said: ...kwani ni kumfundisha au hua inatokea naturally, then utamfundisha kutambaa?!...then kutembea...!!!! Click to expand... Kukaa lazima umpe hilo zoezi... ila vingine vyote huja automatic. Sent using Jamii Forums mobile app