Kuanguka Lowassa: Tumaini la Bunge Wajibikaji?

Rev. Kishoka

JF-Expert Member
Mar 7, 2006
4,526
1,529
Nimekaa nikitafakari maneno aliyotoa Seleli kujibu hoja za Lowassa kulaumu Kamati na Riposti ya Mwakyembe. Kitendo cha Seleli kusimama kidete na kumjibu aliyekuwa Waziri Mkuu kwa ufundi, ukakamavu na bila woga na hata matokeo ya ukweli usiofichika kuwa Wabunge wengi wamefurahia kuangka kwa Lowassa, kunaashiria kuwa Lowassa hakuwa kiongozi mzuri wa Serikali bungeni!

Nafikiri pamoja na ubwegebwege na usanii wa ki-CCM uliokuwa umetawala Bungeni na hata kulifanya bunge kuishiwa hadhi, sababu kubwa ya Bunge letu kushindwa kufanya kazi ipaswavyo na kwa faida ya taifa inatokana na kiongozi wa Serikali Bungeni=Waziri Mkuu.

Tujiulize, hivi Lowassa aliharibu na kudhoofisha bunge letu kwa namna gani mpaka bunge likawa kama ni kikaragosi na si mhimili wa serikali?

Nukuu ya majibu ya Seleli kwa Lowassa

 
Naomba nimnukuu Waziri Mkuu Mizengo Pinda kuhsiana na uwajibikaji na utawala bora. Hapa inaonyesha wazi kuwa Lowassa alishindwa kazi

"Mapungufu yote tutayasimamia vizuri. Kama serikali tutayafanyia kazi na kuyarekebisha," alisema Waziri Mkuu Pinda. Alisema endapo watafanikiwa kutekeleza mambo hayo, anaamini mabadiliko makubwa ndani ya serikali na nchi yatapatikana
 
Uwajibikaji na Ufanisi ndio vibwagizo anavyosema Pinda kwa Serikali!

 
Haya ni kutoka Mama Kilango yanaonyesha wazi kuwa Lowassa hakuwa kiongozi muadilifu au makini. Hivyo kuanguka kwake ni daliliya ukombozi!

 

Please; hebu nisaidienei kidogo; Nani anaweza kujaribu kubuni..Ni nani alimuandikia huyu Mama barua..ya Kutisha? Nafikiri ni vema afahamke kwa ajil ya recods na Mambo mengine ya siku zijazo..!!

Huwezi Kuamini Mtanzania, Mbunge, aliyechanguliwa na wanchi anaweza Kuwa Intimidated within the "house" kwa kiwango cha kudhalilisha namna hii!

Kama Kilango na "FIRE" aliyokuwa nayo anaweza Kupigwa mkwara hivyo..jiulize itakuwaje kwa mwananchi wa kiwaida mtaani??

No No No!! There must come a time in our life where b the right thing should be done..And it must be done .. hata kma ni imposible!!
 

Jiulize hata kama umepungukiwa na Utu kiasi gani! Kama MUOVU ndiye kiogozi mahali.. What do you xpect?
Muovu lazima atakuwa anaongoza sio kwa "kuwajibikia watu" ila kuficha Maovu yake na washiriki wake.

Kwa kuondoa nguvu ya maovu na dalili zake...Au kuifichua...uovu then there is a possibility bunge litakuwa effective!

uongozi ni jambo la muhimu sana wkenye maedeleo ya kijamii a kimaisha..Ukiwa na UOVU kama uongozi...Kinachopatikana ni bunge rojorojo kama la EL
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…