Kuadimika kwa watumiaji wa miavuli

Kuadimika kwa watumiaji wa miavuli

ezekeo

Member
Joined
Aug 27, 2022
Posts
63
Reaction score
158
Jamani siku hizi umekuwa adimu Sana kukutana na watumiaji wengi wa ile miavuli kwa ajiri ya kujikinga na mvua ama jua tofauti na miaka ya nyuma, je hili linachangiwa na nini tena kipindi hiki ambacho kuna jua kali na mvua kuliko hata ilivyokuwa miaka ya nyuma?
 
Wewe siyo mzima kichwani, hakuna juwa Kali wala mvuwa kipindi hiki.

Machinga wanauza bidhaa Kwa msimu, hata leso za kujifuta jasho haziuziki.
 
Wewe siyo mzima kichwani, hakuna juwa Kali wala mvuwa kipindi hiki.

Machinga wanauza bidhaa Kwa msimu, hata leso za kujifuta jasho haziuziki.
Mkuu Mimi Niko singida huku ni balaa jua linapiga hatari kuna wakati unaweza hisi nyama za mwili zinaiva...sijui ww unaongea ukiwa wapi ila nijuavyo mimi hali ya hewa karibia kote inafanana...
 
Jamani siku hizi umekuwa adimu Sana kukutana na watumiaji wengi wa ile miavuli kwa ajiri ya kujikinga na mvua ama jua tofauti na miaka ya nyuma, je hili linachangiwa na nini tena kipindi hiki ambacho kuna jua kali na mvua kuliko hata ilivyokuwa miaka ya nyuma?
Watu wameelemewa na tozo wameacha kuendekeza na kupenda anasa kwa kutumia miamvuli.
 
Jamani siku hizi umekuwa adimu Sana kukutana na watumiaji wengi wa ile miavuli kwa ajiri ya kujikinga na mvua ama jua tofauti na miaka ya nyuma, je hili linachangiwa na nini tena kipindi hiki ambacho kuna jua kali na mvua kuliko hata ilivyokuwa miaka ya nyuma?
Labda wengi wana magari.
 
Back
Top Bottom