Ukweli mtupu huo kwani inawezekana kumrudia tena mwanamke uliyemuacha Kwa sababu moja ama mbili/tatu
1- uliyotegemea kuyapata Kwa mwanamke mpya hayapo kuliko mwanamke uliyomuacha
2 sio mwanamke mjenzi ila mtumiaji tofauti na uliyemuacha
3-kuachwa siku zote kunauma sana kuliko
Lazime ukipima hapo utarudi tu Kwa uliyemuacha kama hajapata nae wa kumlawaza