Wakuu na miezi minne tangu nitoroke kazini serikalini na nilipewa ruhusa maalumu ambayo ilishaisha muda wake...huku kwa mwajiri mpya mambo ni mazuri na sina mpango wa kurudi tena serikalini...sasa wakuu kwa kuwa humu jf kuna wajuvi wa mambo naombeni uzoefu wenu..je jambo hili linaweza niletea...