Ku- unlock bootloader

file litakuwa ni tofauti tafuta simu km hiyo copy file then flash ama endelea kutafuta file kwenye mtantandao ambalo litawasha
 
file litakuwa ni tofauti tafuta simu km hiyo copy file then flash ama endelea kutafuta file kwenye mtantandao ambalo litawasha
Yaani hapo ndo napata shida...maana hata kuwa detected kwenye sp haitaki..

Jana kuna ndugu alinitumia link ya miracle box, v2.27A....Na yenyewe inaniambia ni download latest version..sasa sizipati
 
Yaani hapo ndo napata shida...maana hata kuwa detected kwenye sp haitaki..

Jana kuna ndugu alinitumia link ya miracle box, v2.27A....Na yenyewe inaniambia ni download latest version..sasa sizipati
tafuta CDC_Android_MTK drivers zitasaidia simu kuwa detected
 
tafuta CDC_Android_MTK drivers zitasaidia simu kuwa detected
Iko hivi....ilikuwa inawaka inaishia kwenye logo....wakati nataka Ku flash kwa sp kwa bahati mbaya nikatumia scatter file la mt6580, Na simu yangu no mt6572....sasa tangu hapo ikawa haiwaki tena, nikiweka kwenye PC, PC INA detect lkn sp hai detect tena...

Nifanyeje....
 
Yaani hapo ndo napata shida...maana hata kuwa detected kwenye sp haitaki..

Jana kuna ndugu alinitumia link ya miracle box, v2.27A....Na yenyewe inaniambia ni download latest version..sasa sizipati
Miracle huwez tumia until ume crack... Nilikwambia ufate instructions haitokuulza habar za new version
 
japo umedandia thread ya mtu mwngine x-box nyingi ni fake file hilo ninalo la 1.75 gb je ulibahatika ku read info ambapo ungeliweza kujua ukubwa wa file la hiyo simu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…