Msaada Na Mimi...
Nilikuwa naflash xbo m8, in clone ya HTC....ilikuwa INA stuck kwenye boot image...sasa baada ya kuflash...ikawa bado inaishia hapo hapo...
Natumia so flash tool, hii ina option ya Ku format, so nikaformat kila kitu...
Sasa ndo imegoma kuwaka kabisa, lkn nikitumia sp flash tool...inakuwa detected, Na flashing inafanyika...lkn haiwaki..
Tatizo nini waungwana...
Yenyewe ni mt6572....
Nikachanganya scatter file, nikatumia scatter file ya mt6580, sasa ukichomeka kwa PC inakupa kale Ka tune Ka kuwa umechomeka kitu, lkn Kyle kwenye sp flash tool haiwe detected, vipi ndo imekufa au..
Msaada tutani jamani