captain dunga
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 282
- 638
Wadau nahitaji msaada wenu...
hizo limitations unazoongelea wewe hasa ni zipi??
Umejibu kwa kujiamini mkuu,inaonesha unatumia iphone..
Kama hujaona limitations anza kuwa na wasiwasi na akili zako we mwenyewe..
Umejibu kwa kujiamini mkuu,inaonesha unatumia iphone..
Kama hujaona limitations anza kuwa na wasiwasi na akili zako we mwenyewe..
Ndo maana mimi siikubali iphone sababu ya vikwazo vyao vya kijinga. Unakuwa na simu harafu hufurahii. Hata 3G only haikai inahama hama tu
Acha kujudge mapema, nimeuliza swali jepesi tu, limitations ni zipi? zitaje labda kuna alternative tunaweza kupa, wewe usharukia kutoa majibu yasiyo na msingi... Akili zangu we unazijua?
Apple: Has majority of priced apps,closed operating system(programu zake huandikwa na wahandisi wa kampuni yao tu),less customizable,less user friendly OS(Ni rahisi kwa waliowahi kutumia tu),Less product substitutes(zipo chache km iphone 3,4,5,6 na zote znatumia programu sawa),high cost of their products due to high quality hardware and overall perfomance...
Google Android: Majority of free apps, Open operating system(kila mwenye uwezo wa kuandika programu anaweza kutengeneza hivyo wahandisi ni watu binafsi na wenye kampuni za simu), Very user friendly OS,Majority of substitutes products(zipo za kimaskini km itel,tecno,huawei na za kitajiri kama Samsung,Sony,Htc), Less cost of their products(low end products) due to majority of substitutes.
Pimeni then mtajua product ipi ni bora kwa matumizi.
Apple: Has majority of priced apps,closed operating system(programu zake huandikwa na wahandisi wa kampuni yao tu),less customizable,less user friendly OS(Ni rahisi kwa waliowahi kutumia tu),Less product substitutes(zipo chache km iphone 3,4,5,6 na zote znatumia programu sawa),high cost of their products due to high quality hardware and overall perfomance...
Mkuu umeulizwa swali la msingi sana
Nakumbuka post yako ya juzi kati kuomba ushauri ununue ipi, binafsi nilikushauri iphone lakini ujiandae na ukiritimba kidogo ambo ahuwezi kuathiri sana matumizi ya simu yako
Nadhani ni mapema mno kuanza kujailbrake simu yako, vuta subira uijue vizuri iphone yako,
Labda ungetaja ni jambo gani linakukera sana ambalo wadau wanaweza kukupa mbadala wakati unaendelea kuisoma iphone yako