Ku connect network kwa lain ya tz uitumie ukiwa Rwanda,zambia

usser

JF-Expert Member
Sep 25, 2015
13,901
13,870
Wakuu habar zenu embu mnisaidie
Hapa Kwa wanaoelewa

Je naweza kuconneckt lain ya
Cm ya tz nikija nje ya tz mfano
Niko Rwanda Kigali na nkawa

Naitumia inawezekna
Ikafanya kaz kwa upande wa internet
Na nikipgiwa inaingia
 
ndo umeenda Rwanda hujaniaga ee

kuna rafk yangu alikua huko rwanda mwanzon alikua anatumia line yake yaTz tunachat whatsap tu lkn badae akaanza tumia za huko akasema network shida
ngoja wajuvi wajeeee
 
ndo umeenda Rwanda hujaniaga ee

kuna rafk yangu alikua huko rwanda mwanzon alikua anatumia line yake yaTz tunachat whatsap tu lkn badae akaanza tumia za huko akasema network shida
ngoja wajuvi wajeeee
Walaaaaah hata cjaenda huko bebe
Ndo Niko kwenye prose's ww tena
Nsipokuaga ntakua nmelogwa na ivuga

Me nmeambiwa et una connect
Ukifka mpakan ukiwa bdo ndo
Unavuka inajileta yenyewe Sasa

Ww unakubali yes au no
Sasa cjajua kama n kweli au n magumamash
Tu
 
kama ni airtel ukienda kenya na uganda inabadilika na inaendelea kusoma kama kawaida sjajua rwanda
 
Roaming is the final option lakini charging calls ipo juu sana...shida moja ya kule ni milima hivyo network in inakua shida wkt mwingine
 
Tabu yote ya nini? Kasajiri laini za uko uko tu,,, Maana Roaming gharama yake sio mchezo mzee,,, Au sajiri Airtel na tiGO zipo uko Rwanda..
 
Back
Top Bottom