Wewe nenda shule tu utayakuta.Lazima uwe na basic knowledge ya Anatomy,Physiology na Biochemistry..Hii ni bila kusahau somo muhimu la ethics and professionalism
Then utazama na yako haya
Medicinal Chemistry ambayo kimsingi ni organic chemistry
Pharmaceutics ambapo utajua maujanja ya akuformulate dosage forms..Hapa utajua kidonge kinatengenezwaje kuanzia mwanzo kabisa
Pharmacology...huyu ndio mama yao.Utajifunza dawa mbalimbali na namna zinavyofanya kazi mwilini,muingiliano wake na dawa nyingine,matumizi yake kimatibabu,na madhara yake kama yapo
Pharmacognosy utajifunza mimea na vitu vyote asilia vinavyoweza kutumika kama dawa.Utasoma botany hapa na mwisho wa mwaka mtaenda Tanga na Arusha kuishuhudia hii mimea
Na kadhalika