Kozi ya Ufamasia

Zamani wengi walikimbilia BPharm ili auze cheti kwa watu wanaofungua mapharmacy ila wao hawataki kupractice kabisa ila Bpharm iko poa sana kama una mapenzi nayo kutoka moyoni yaani mbali na ajira kuserve jamii kwenye mahospital na community pharmacy zamani wakati sie tunaingia muhimbili miaka ya 2001 na moja kusoma bpharm ilikuwa easy kuswitch from MD to Bpharm and viceversa kwa sasa sijui imekaaje kwa ushauri soma ni kozi nzuri sana.
 
Duh ni kweli nmechaguliwa muhas broh... ko msuli wake unaeza kuwa kama wa medicine... na kazi unaajiriwa maeneo gani
Ulifanikiwa kutoboa? vipi hali ya kitaa unaionaje
 

Dahh kitambo sana. Sasa ni miaka mitano ya ufamasia na Mungu anaendelea kuwa mwema kwa wafamasia. Vita ni kubwa sana hasa kutoka kwa wenzetu madaktari hasa kwenye suala la usimamizi wa famasi. Tuendelee kuipigania taaluma na kuonesha relevance yetu. Ndugu yangu mleta mada nina imani utakua umeshamalia shule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…