Watendaji wa nchi hii hawataacha kunishangaza, yaani katika kutekeleza sheria kweli wanahitaji kuwa na "uvumilivu"? Ina maana muda wote huu Polisi wamekuwa "wavumilivu" katika kutekeleza wajibu wao?. Hii ndo sababu Tanzania has always been the land of impunity!!!